Search This Blog
Monday, August 10, 2020
Msemaji wa Insta Mwijaku Amehaidi Kutembea Uchi Tena Rich Mavoko Asipotajwa Billboard Mwaka Huu
Msemaji Mkuu wa Mambo ya Kimbea mbea huko Instagram Mwijaku amesema kwasasa msanii namba moja Tanzania ni Rich Mavoko na kwa mwaka huu Billboard wasipomtaja Mavoko basi yeye Mwijaku atatembea uchi, Hii ni kauli yake ya pili baada ya ile ya kwanza kusema hivyo kuwa ikitokea Diamond Platnumz atamuoa Tanasha Donna Basi Atetembea uchi na kweli Mondi Hakuweza Kumuoa Tanasha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment