Search This Blog

Monday, August 10, 2020

Msemaji wa Insta Mwijaku Amehaidi Kutembea Uchi Tena Rich Mavoko Asipotajwa Billboard Mwaka Huu


Msemaji Mkuu wa Mambo ya Kimbea mbea huko Instagram Mwijaku amesema kwasasa msanii namba moja Tanzania ni Rich Mavoko na kwa mwaka huu Billboard wasipomtaja Mavoko basi yeye Mwijaku atatembea uchi, Hii ni kauli yake ya pili baada ya ile ya kwanza kusema hivyo kuwa ikitokea Diamond Platnumz atamuoa Tanasha Donna Basi Atetembea uchi na kweli Mondi Hakuweza Kumuoa Tanasha

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...