Search This Blog
Wednesday, August 12, 2020
Kubenea Ataja Sababu iliyomkimbiza Asigombee Ubunge Chadema
Aliyekuwa mbunge wa Ubunge, Sued Kubenea, ametaja sababau mojawapo iliyomfanya asigombea jimbo hilo ni kutokana na migogoro iliyokuwepo kwenye Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Read More: Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo
Kubenia amesema hakuwa tayari kushiriki kwenye dhambi ambayo ingesaidia jimbo hilo kwenda Chama cha Mapinduzi (CCM).
“Miongoni mwa sababu iliyopelekea kutokugombea jimbo hilo tena ni kutokana na migogoro iliyokuwepo kwenye chama changu,” alisema Kubenea.
Julai 18, 2020 Kubenea aliondoka Chadema na kujiunga na Chama cha ACT-Wazalendo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment