Search This Blog

Wednesday, August 12, 2020

Kubenea Ataja Sababu iliyomkimbiza Asigombee Ubunge Chadema



Aliyekuwa mbunge wa Ubunge, Sued Kubenea, ametaja sababau mojawapo iliyomfanya asigombea jimbo hilo ni kutokana na migogoro iliyokuwepo kwenye Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Read More: Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

Kubenia amesema hakuwa tayari kushiriki kwenye dhambi ambayo ingesaidia jimbo hilo kwenda Chama cha Mapinduzi (CCM).

“Miongoni mwa sababu iliyopelekea kutokugombea jimbo hilo tena ni kutokana na migogoro iliyokuwepo kwenye chama changu,” alisema Kubenea.

Julai 18, 2020 Kubenea aliondoka Chadema na kujiunga na Chama cha ACT-Wazalendo.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...