Search This Blog
Saturday, August 8, 2020
Goodbless Lema "Muujiza wa Mungu Unachukua Fomu ya Kugombea Urais"
Aliyekuwa mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema, amesema Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu atachukua fomu kesho ya kugombea urais.
Lema aliandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa twitter kuwa atashuhudia kutoka kufo kuwa mgombea urais.
“Kesho muujiza wa Mungu una chukua fomu ya kugombea Urais, nitashuhudia, kutoka kifo had I kuwa mgombea Urais. Mna uliza tutashinda urais?,” aliandika Lema
“Jibu: kama tumekishinda kifo kwa uwezo wa Mungu basi urais ni kama ice cream tu. Twendeni mpaka mwanzo wa bahari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment