Search This Blog

Friday, August 28, 2020

Dude Afunguka Baada ya Ajali Mbaya iliyotaka Kuondoa uhai Wake (Video)


Msanii wa filamu Dude amefunguka kuzungumzia ajali mbaya ya gari aliyoipata mapema leo asubuhi wakati akijiandaa kwenda Mkoa Dodoma kwaajili ya uzinduzi wa kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM). Muigizaji huyo ambaye bado yupo hospitali ya Magomeni jijini Dar Es salaam, amedai aligongwa na gari la kubebea wagonjwa akiwa kwenye usafiri wa Bodaboda.

Amesema kupitia ajali hiyo mbaya ameibiwa simu pamoja na pesa.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...