Baada ya ugunduzi huo, Mamlaka za Afya ziliwatafuta na kuwapima watu waliokuwa karibu na bidhaa hiyo ambapo majibu yameonesha hawana maambukizi
Aidha, eneo ambalo vipande vyenye Virusi viliwekwa limepuliziwa dawa na Mamlaka inatafuta bidhaa nyingine za kampuni hiyo ambayo haijawekwa wazi
Hata hivyo, Shirika la Afya (WHO) na Kituo wa Kuzuia na Kudhibiti Magonjwa cha Marekani (CDC) zimewahi kusema uwezekano wa kupata #CoronaVirus kupitia chakula ni mdogo

No comments:
Post a Comment