Search This Blog

Sunday, July 5, 2020

Waziri Mkuu azindua jengo la Mpanda Plaza


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua jengo la Mpanda Plaza ambalo ni kitegauchumi cha Shirika la Taifa la Nyumba (NHC), mjini Mpanda, Julai 4, 2020. Wa pili kulia ni Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Mhandisi Isack Kamwelwe, kulia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula, kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Katavi Juma Homela na wapili kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Dkt. Maulid Banyani.


Jengo la Mpanda Palaza ambalo ni kitegauchumi cha Shirika la Taifa la Nyumba (NHC) limezinduliwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa mjini Mpanda, Julai 4, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...