Search This Blog

Tuesday, July 21, 2020

Waziri Majaliwa apita kura za maoni jimbo la Ruangwa


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amepita bila kupingwa kwenye kura za maoni katika Jimbo la Ruangwa Mkoani Lindi, hii ni kwasababu Majaliwa alikuwa ni Mgombea pekee kwenye Jimbo hilo

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...