Search This Blog

Tuesday, July 21, 2020

Josephat Gwajima Chali, Vicent Mashinji Aambulia Kura Mbili Kawe

‪JIMBO LA KAWE: Furaha Dominic Jacob ameshinda kura za maoni kugombea ubunge Jimbo la Kawe kwa kupata kura 101. Angela Kizigha kura 85, Askofu Josephat Gwajima kura 79 na Benjamin Sitta kura 61 na Vicent Mashinji (Katikati) ambae alihama CHADEMA na kwenda CCM ameibuka na kura 2

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...