Search This Blog

Tuesday, July 28, 2020

Wahamiaji 50 waliofurushwa Ugiriki wapokelewa Uturuki


Wahamiaji haramu  50 waliokuwa wakijielekeza nchini Ugiriki wamefurushwa na kupokewa  Uturuki.

Wahamaiji haramu  50 waliokuwa katika boti wakielekea nchini Ugiriki wamefurushwa na kikosi cha wanamaji cha Ugiriki .

Baada ya kufukuzwa wahamiaji hao  wameokolewa na kikosi cha wanamaji cha Uturuki mkoani Izmir katika kitongoji cha Dikili.

Kikosi hicho cha uokozi cha Uturuki  kilijielekeza katika eneo ambalo mashua hiyo ilikuwa ikifeli baada ya kupatiwa taarifa na kuwaokoa wahamiaji hao.

Wahamiai  haramu 21 wameokolewa  wakiwa katika  boti lao la plastiki wakiwa katika safari kuelekea nchini Ugiriki.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...