Rais wa Marekani Donald Trump ameahidi kuwashinda wale aliowaita 'wafuasi wa mrengo wa kushoto wenye misimamo mikali' nchini humo, katika hotuba yake ya kuadhimisha siku ya uhuru wa Marekani kutoka kwa Uingereza.
Akizungumza katika Ikulu ya White House, Trump amelaani maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi ya hivi karibuni, yanayoangusha masanamu ya ukumbusho akisema kwamba Watu hao wanajaribu kuiharibu Marekani.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment