Search This Blog
Monday, July 6, 2020
Hospitali ya Mnazi mmoja yatekeleza agizo la Naibu Katibu Mkuu
Hospital ya Mnazi Mmoja ya Tekeleza Agizo la Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia maswala ya Afya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ( TAMISEMI) Dkt. Dorothy Gwajima la kuweka namba za Huduma kwa Wateja ili wananchi kuwasilisha kero na kutatuliwa kwa wakati.
Angizo hilo lilitolewa mapema wiki iliyopita Dkt Gwajima alipofanya ziara katika Hospitali hiyo iliyoko Manispaa ya Ilala jijini Dar es salaam.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment