Search This Blog

Monday, July 6, 2020

Hospitali ya Mnazi mmoja yatekeleza agizo la Naibu Katibu Mkuu




Hospital ya Mnazi Mmoja ya Tekeleza Agizo la Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia maswala ya Afya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ( TAMISEMI) Dkt. Dorothy Gwajima la kuweka namba za Huduma kwa Wateja ili wananchi kuwasilisha kero na kutatuliwa kwa wakati.


Angizo hilo lilitolewa mapema wiki iliyopita Dkt Gwajima alipofanya ziara katika Hospitali hiyo iliyoko Manispaa ya Ilala jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...