Search This Blog
Thursday, July 16, 2020
Real Madrid yatwaa ubingwa wa 34 wa LaLiga
Club ya Real Madrid baada ya kutwaa taji la Ligi Kuu Hispania LaLiga 2019/20 kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya Villarreal, hili ndio linakuwa taji lao la kwanza la LaLiga toka 2017.
Real Madrid hilo ndio linakuwa taji lao la kwanza toka Cristiano Ronaldo aondoke timu hiyo 2018 na kujiunga na Juventus.
Hili ni taji la 34 la LaLiga kwa Real Madrid wakiwazidi wapinzani wao wakuu FC Barcelona kwa tofauti ya mataji 8, Barcelona wakiwa na mataji 26 ya LaLiga.
Kocha wa Real Madrid Zinedine Zidane anakuwa kashinda jumla ya mataji 11 katika jumla ya michezo 209 aliyoiongoza Real Madrid (LaLiga 2, UEFA Champions League 3, UEFA Super Cup 2, Supercopa de Espana 2 na FIFA Club World Cup 2)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment