Search This Blog
Tuesday, July 14, 2020
Ratiba ya kigi kuu ya Vodacom leo
Leo Julai 15 Ligi Kuu Bara inaendelea Kwenye viwanja sita tofauti ambapo timu 12 zitakuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu.
Mtufuano mzima wa kusaka ushindi utakuwa namna hii:-
JKT Tanzania v Alliance FC, Uwanja wa Jamhuri.
Mtibwa Sugar v Azam FC, Uwanja wa Gairo.
Yanga v Singida United, Uwanja wa Taifa.
Namungo v Mbeya City, Uwanja wa Majaliwa.
Ndanda v Tanzania Prisons, Uwanja wa Nangwanda Sijaona.
Mechi zote zinatarajiwa kupigwa majira ya saa 10:00 jioni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment