Search This Blog

Tuesday, July 14, 2020

Ratiba ya kigi kuu ya Vodacom leo


Leo Julai 15 Ligi Kuu Bara inaendelea Kwenye viwanja sita tofauti ambapo timu 12 zitakuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu.

Mtufuano mzima wa kusaka ushindi utakuwa namna hii:-

JKT Tanzania v Alliance FC,  Uwanja wa Jamhuri.

Mtibwa Sugar v Azam FC,  Uwanja wa Gairo.

Yanga v Singida United,  Uwanja wa Taifa.

Namungo v Mbeya City,  Uwanja wa Majaliwa.

Ndanda v Tanzania Prisons,  Uwanja wa Nangwanda Sijaona.

Mechi zote zinatarajiwa kupigwa majira ya saa 10:00 jioni.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...