Search This Blog
Wednesday, July 1, 2020
Rais wa Burundi amtunuku Jakaya Kikwete medali
Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye amemtunuku Medali Rais Mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete kwa mchango wake katika harakati za kurejesha amani Burundi, Medali hiyo ilipokelewa na Balozi Jilly Maleko wakati wa hafla ya kuadhimisha Siku ya Uhuru wa Burundi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment