Search This Blog

Wednesday, July 1, 2020

Rais wa Burundi amtunuku Jakaya Kikwete medali



Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye amemtunuku Medali Rais Mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete kwa mchango wake katika harakati za kurejesha amani Burundi, Medali hiyo ilipokelewa na Balozi Jilly Maleko wakati wa hafla ya kuadhimisha Siku ya Uhuru wa Burundi.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...