Search This Blog

Tuesday, July 28, 2020

Picha: Viongozi na wananchi mbalimbali wajitokeza kwa wingi uwanja wa Uhuu


Mama Anna Mkapa, Mjane wa Rais Mstaafu Mkapa akiwa amejifunika kanisani mapema leo asubuhi katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Immaculata Upanga DSM wakati wa Misa Takatifu ya kumuombea Mumewe.



Viongozi mbalimbali wakiwa wamejitokeza Uwanja wa Uhuru kwa ajili ya zoezi la kuuaga mwili wa Mzee Mkapa Kitaifa kabla ya kusafirishwa kuelekea Lupaso Mkoani Mtwara kwa ajili ya mazishi.


Wananchi mbalimbali wakiwa wamejitokeza Uwanja wa Uhuru kwa ajili ya zoezi la kuuaga mwili wa Mzee Mkapa Kitaifa kabla ya kusafirishwa kuelekea Lupaso Mkoani Mtwara kwa ajili ya mazishi.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...