Search This Blog

Tuesday, July 28, 2020

Klabu ya Yanga Kumrudisha Kocha wa Zamani Mzungu, Mecky Maxime Ndani

Klabu ya Yanga kupitia kwa Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM, Eng Hersi Said amewasiliana na Kocha wa zamani wa Yanga, Singida United na Azam FC, Hans van der Pluijm ili kurejea kuifundisha Klabu hiyo. Pia Eng Hersi Said ameshamalizana na kocha mkuu wa Kagera Sugar Mecky Maxime kama kocha msaidizi.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...