Klabu ya Yanga kupitia kwa Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM, Eng Hersi Said amewasiliana na Kocha wa zamani wa Yanga, Singida United na Azam FC, Hans van der Pluijm ili kurejea kuifundisha Klabu hiyo. Pia Eng Hersi Said ameshamalizana na kocha mkuu wa Kagera Sugar Mecky Maxime kama kocha msaidizi.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment