Msanii wa Bongofleva Ruby Amekataa Kabisa Kulizungumzia Suala Zima la Uhusiano Wake Yeye na Masanii Mwenzake Nandy.
Mara Kadhaa Pia Hapo Hapo Upande wa Pili Ndani Ya Kipindi Cha Wasafi Tv, GigyMoney Na Yeye Alifunguka ya Moyoni Kusema Hampendi Hata Kidogo Nandy Kutokana na Kua na Roho Mbaya, Hayo Yalikua ni Maneno ya GigyMoney.
Kwa Matukio Haya Yanayo Endelea Katika Mitando ya Kijamii Wasanii Wenyewe Kwa Wenyewe Kuto Kupendana, Kutengenezeana Mabifu Mmoja Apande Juu Mwengine Ashuke Chini, Unahisi Watakua Wanajenga Au Wanabomoa?
Tuambie Hapa Tafadhali Maoni Yako Wewe Mpenzi/Mdau wa Muziki wa Bongofleva.!!!!
7h
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Kai...

No comments:
Post a Comment