Search This Blog

Sunday, July 5, 2020

Moto wateketeza Maduka katika soko la Vwawa Songwe


Vibanda zaidi ya 7 vya maduka ya wafanyabiashara katika soko la Vwawa wilayani Mbozi Mkoani Songwe vimeteketea kwa moto.

Taarifa za awali zimeeleza kuwa moto huo umezuka alfajiri ya leo Julai 5, 2020 na kuteketeza maduka hayo ndani ya soko.

Mpaka muda huu Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea na jitihada za kuuzima moto huo.

Chanzo bado hakijabainishwa na jitihada za kuwapata watu wa mamlaka za usalam

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...