Search This Blog

Sunday, July 5, 2020

Mganga mkuu alipata kigugumizi kuniambia majibu ya vipimo vya corona - RC Mghwira


Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Dkt,Anna Mghwira amesema Mganga mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro alipata wakati mgumu wa namna ya kupeleka majibu ya vipimo vya homa ya Mapafu (COVID- 19).

Dkt Mghwira ameyasema hayo wakati wa tamasha la shukrani kwa Mungu kwa kuliepusha taifa na virusi vya Corona,tamasha lililoenda sambamba na uzinduzi wa wimbo wa Dkt Mghwira kuhusu ugonjwa huo.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...