Search This Blog
Sunday, July 5, 2020
Mganga mkuu alipata kigugumizi kuniambia majibu ya vipimo vya corona - RC Mghwira
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Dkt,Anna Mghwira amesema Mganga mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro alipata wakati mgumu wa namna ya kupeleka majibu ya vipimo vya homa ya Mapafu (COVID- 19).
Dkt Mghwira ameyasema hayo wakati wa tamasha la shukrani kwa Mungu kwa kuliepusha taifa na virusi vya Corona,tamasha lililoenda sambamba na uzinduzi wa wimbo wa Dkt Mghwira kuhusu ugonjwa huo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment