Search This Blog

Wednesday, July 29, 2020

Makamu wa Rais wa Gambia aambukizwa virusi vya corona


Makamu wa Rais wa Gambia, Isatou Touray amekutwa na maambukizi ya COVID19 na kutokana na hilo, Rais Adama Barrow atajitenga kwa muda wa siku 14

Taarifa iliyotolewa na Serikali haikuelezea kwa undani kuhusu hali ya kiafya ya Touray (65) ambaye alitangazwa kuwa Makamu wa Rais wa nchi hiyo mwaka jana

Gambia imerekodi jumla ya visa 326 na vifo 9 vya Corona Virus, idadi ambayo ni ndogo zaidi kuripotiwa kwa ukanda wa Afrika Magharibi

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...