Search This Blog
Saturday, July 4, 2020
Maalim Seif : Wapinzai Wanajali Maslahi Yao Binafsi Kuliko Nchi
Mwanasiasa mkongwe na mwenyekiti wa chama cha ACT-Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad amesema wapinzani wengi nchini wanatazama zaidi maslahi yao binafsi kuliko maslai mapana ya nchi pindi wanapopata nafasi ya uongozi baada ya chaguzi.
Akizungunza wakati wa mahojianao maalum na televisheni mtandao ya Watetezi Tv Maalim Seif amesema kitendo hicho kinatafasiliwa kuwa wapinznai hawako makini na hawana nia thabiti ya kuitoa CCM madarakani.
“Hata mimi niwe mkweli, wapinzani wengi wanajali maslahi yao binafsi, na si maslahi mapama ya nchi. Watu wana sababu kabisa za kutulaumu Upinzani maana tuna ubinafsi, hatupo ‘serious” amesema Maalim
Ikumbukwe kuwa mnamo mwezi oktoba Tanzania itaingia kwenye uchanguzi mkuu wa wabunge,madiwani na rais, jambo mabalo maalim Seif amewataka wapinzai wanaogombea kuwa na nia thabiti na sio kuweka maslai yao mbele.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment