Search This Blog
Friday, July 3, 2020
Kwanini Ex Wako awe Kama Adui?
Kuna siku moja katika pitapita za mitandaoni nkakutana na interview moja Diamond Platnumz sikumbuki alikuwa anahojiwa na mtangazaji gani ila alikuwa akiulizwa maswali kadhaa kuhusu ngoma zake Niache na Sikomi
Diamond anasema alipata idea ya kuandika ile ngoma (Niache) baada, ya kuumuliza rich mavoko kama inatokea umeachana na mpenzi wako inawezakana ukamwombea mema? majibu ya rich yalikuwa ni Hapana ,
Ndipo bwana mkubwa alipopata idea ya ile ngoma iliyojaa maneno ya chuki,laana na dua mbaya kwa mpenzi wake. akimaanisha sio kila mpenzi unaeachana nae utamwombea kheri.
Tuachane na hayo Diamond ni msanii
Lakini kwanini iwe hivi, kwanini katika jamii ijengeke dhana hii mara nyingi (si wote) ,tunaweza tukawa tunacheka nao usoni salamu,mawasiliano ya hapa na pale ila moyoni bado tuna chuki nao
Kwanini iwe hivi lakini?
Binafsi im still keeping my ex pictures , i want to show my kids how SATAN look lik
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Kai...

No comments:
Post a Comment