Search This Blog

Wednesday, July 15, 2020

Aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi,achukuwa fomu ya ubunge Njombe



Na Amiri Kilagalila

Aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi,Mkuu wa Idara ya Sera na Itifaki CHADEMA,Mjumbe wa kamati ya Ukawa na kampeni meneja wa Mgombea wa Makam wa Rais Ukawa 2015 Bwana,Juju Martin Danda.Amechukuwa fomu ya kuwania nafasi ya ubunge jimbo la Njombe mjini

Danda amesema

“Siku ya leo nimeitumia kama siku maalum kwangu kwa ajili ya kuja kuchukuwa fomu ya uteuzi wa mbunge jimbo la Njombe mjini kwasababu kimsingi ni haki ya kila mwanachama wa chama cha mapinduzi” Bwana,Juju Martin Danda meneja wa Mgombea wa Makam wa Rais Ukawa 2015

Danda amekuwa miongoni mwa wagombea 26 wa chama hicho waliofika na kuchukuwa fomu ya kuomba ridhaa ya chama hicho kuwania nafasi ya ubunge jimbo la Njombe mjini.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...