Search This Blog
Saturday, June 20, 2020
Waziri wa Afya wa Zimbabwe akamatwa na polisi kwa tuhuma za rushwa
Waziri wa Afya wa Zimbabwe Obadiah Moyo anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za rushwa, Moyo anatuhumiwa kuipa kampuni ya Drax International tenda ya USD Mil 42 kwa ajili ya kusambaza dawa na vifaa kinga vya corona wakati akijua kabisa kuwa kampuni hiyo inahusika na masuala ya ujenzi na sio afya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment