Search This Blog
Thursday, June 25, 2020
Waziri Mpina akosoa operesheni ya watendaji wake
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina ameitaka Bodi ya Maziwa kusitisha mara moja Operesheni ya kuharibu kwa kuyawekea Rangi na Mafuta ya Taa Maziwa yanayokutwa yakiwa nje ya Utaratibu wa kisheria, akiitaka Bodi hiyo kuandaa mikakati ya kuwasaidia wafanyabiashara wadogo kukidhi matakwa ya kisheria.
Waziri Mpina amefikia uamuzi huo ikiwa ni mafanikio ya operesheni yake ya kustukiza iliyoanza majira ya saa 10 Alfajiri, akilenga kujionea uhalisia wa biashara hiyo, baada ya kufikiwa na taarifa za malalamiko ya wafanyabaishara wanaodai kutotendewa haki na maafisa kutoka Bodi ya maziwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment