Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, baada ya majadiliano na ufatiliaji wa kina wa hoja hizo, imeelezwa kwamba mitandao hiyo haijamkuta na hatia rapa huyo, hivyo haitochukua hatua zozote dhidi yake.
Imeelezwa kuwa, wakati #Tekashi69 anatekeleza makosa hayo alikuwa na umri mdogo na jina lake halijawahi kuandikwa kwenye kumbukumbu za wakosaji wa kingono.

No comments:
Post a Comment