Search This Blog
Saturday, June 6, 2020
Waziri Mkuu wa Canada aungana na waandamanaji kupinga ubaguzi
Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau Amepiga goti na waandamanaji kama Ishara ya Kupinga Ubaguzi wa Rangi na Ukatili wa Polisi, Ujumbe wa waandamanaji hao ulikuwa 'Hakuna Haki, Hakuna Amani', Trudeau alizungukwa na walinzi wake na hakuongea kitu, Canada pia ina matatizo ya Raia na Polisi kama Marekani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment