Search This Blog

Tuesday, June 9, 2020

Waziri Kamwelwe atengua uteuzi wa Kaimu Mkurugenzi - KIA.


Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mwasiliano Mhandisi Issack Kamwelwe ametengua Uteuzi wa Mhandisi Martin Kinyamagoa aliyekuwa akikaimu nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji katika Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro-KIA.

Mhandisi Martin Kinyamagoa anadaiwa kushindwa kutekeleza Majukumu yake katika Kipindi hiki ambacho watalii wamekuwa wakiingia nchini kupitia Uwanja huo baada ya kuzuiliwa kwa safari za Anga katika nchi nyingi Duniani kutokana na Janga la Corona.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...