Waziri wa Viwanda na Biashara Mh. Innocent Bashungwa amesema kuwa serikali itawachukulia hatua wafanyabiashara wote wa mafuta walioficha nishati hiyo na kuacha kuuza kulingana na bei elekezi.
Waziri Bashungwa ametoa onyo hilo wakati wa kikao cha pamoja na mamlaka zinazosimamia kodi (TRA) , Nishati (EWURA) na Tume ya Ushindani (FCC) kujadili sababu na hatua zitakazochukuliwa kwa wafanyabiashara watakaobainika kwenda kinyume na sheria.
Amesema kutokana na janga la Covid-19 bei ya mafuta katika soko la dunia imeshuka huku ikichangiwa zaidi na mkakati uliowekwa wa ununuaji wa mafuta kwa pamoja, ambapo pia ametaja sheria zitakazotumika kuwakamata wanaoficha mafuta.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment