Search This Blog

Wednesday, June 3, 2020

VIDEO: Dereva Tax 'Uber' auawa Dar, washukiwa wakamatwa


Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya dereva tax (UBER) aliyefahamika kwa jina la Joseph Tillya Mpokala,(51),Mkazi wa Mbezi kwa Msuguli

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE 


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...