Utendaji kazi wa Rais John Pombe Magufuli unaendelea kuonekana nje ya mipaka , baada ya Jarida kubwa la African Report kumtaja Kama miongoni mwa watu 10 walioleta mabadiliko makubwa barani Afrika
Jarida hilo limemtaja Rais Magufuli kama kiongozi aliyeweza kufanya mapinduzi makubwa katika miradi ya Kiuchumi na kijamii , na kusababisha uchumi wa Tanzania kua ni uchumi unaokua kwa kasi zaidi barani Afrika
Pia limemuelezea Rais Magufuli Kama kiongozi aliyeweza kurejesha nidhamu ya kazi kwa viongozi wa umma, kudhibiti rushwa na Kupunguza matumizi mabaya ya kodi za wananchi
Vilevile limesifia juhudi zake za kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji nchini Tanzania, pamoja na kujitolea kupunguza mshahara wake kipindi alipoingia madarakani.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment