Msanii wa bongo fleva jana usiku Alikiba alikuwa na Special Day kwa mashabiki wake kupitia YouTube Live, ambapo mbali nakuzungumzia ujio wa ngoma yake mpya, alitoa orodha ya ngoma ambazo anazikubali sana, moja kati ya hizo ni Mfalme ya Mwana FA akiwa G Nako Warawara |
Kupitia ‘Live Session’ kwenye Youtube channel ya kings music records na Alikibapia ametaja orodha ya ngoma anazozikubali kutoka kwa wasanii tofauti ikiwemo Prince Dully Sykes akisisitiza anahitaji tuzo ya heshima na angekuwa anatoa tuzo basi angempa.
Kiba ametangaza kuachia ngoma yake mpya iitwayo So Hot (Wamoto) leo June 08/2020.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment