Search This Blog
Sunday, June 7, 2020
CCM ni mwiko kutumia fedha kugombea
Mlezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kanda ya Kati na Waziri Mkuu Mstaafu Bw. Mizengo Pinda ameitaka Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Dodoma ya Chama hicho, kuhakikisha hakuna mgombea wa (CCM) anapatikana kwa kutumia fedha. "Usikubali kutumia fedha kama sehemu ya kuvuta hisia ila upigiwe kura, ni mtihani mkubwa lakini itabidi tuusimamie, Bwana mkubwa anajua atakachokifanya lakini inaelekea tutakuwa nakautaratibu kagumu kidogo" alisema Bw. Pinda.
Bw. Pinda amelitoa agizo hilo wakati wa ziara ya Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Dodoma, ili kujua hali ya siasa mkoani humo, wakiwa wameanzia ziara hiyo katika wilaya ya Chamwino.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment