Search This Blog
Friday, June 19, 2020
Steve Nyerere Atangaza nia Kuwania Ubunge Iringa Mjini
Mchekeshaji na muigizaji, Steve Nyerere ametangaza nia ya kugombea Ubunge katika jimbo la Iringa Mjini kupitia CCM, ambalo kwa sasa lipo chini ya Mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA anayegombea Urais.
Steve ametoa kauli hiyo leo Juni 19, 2020, ambapo amsema yeye ndiye atakuwa mbunge mfupi na machachari kuliko wote huku akibainisha vitisho anavyo vipata.
“Mimi ndiyo Mbunge wa Iringa labda itokee niseme sitaki, nakwenda kurudisha jimbo letu, nawashukuru wanaonitukana na kunitishia kuniua maana wanazidi kunipa nguvu” amesema Steve Nyerere…Bofya hapa kutazama
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment