"Mimi ndo kijana ukinisema sijali kabisa,huko Twitter nyie semeni, chambueni mpaka mchoke mimi nachojua ni kuwa kazi zinafanyika na maendeleo yanaonekana wazi wazi, nawapa salamu kule kwa Katibu wao CHADEMA, John Mnyika kesho naanza ziara wajipange maana najua hakuna alichofanya" Rc Paulo Makonda RC Paul Makonda
"Wakati naanza ziara vijana wa pale mtaa wa Ufipa wamenitafuta wanaomba niwasaidie kulipa pango la ofisi yao Makao Makuu pale, CHADEMA wanadaiwa kodi ya miezi sita kama naongopa waweke risiti hadharani tuone kama wamelipa kweli kuanzia January mwaka huu, Mwenyekiti wa Chama Kinondoni ikitokea wamefukuzwa wape ofisi yako ile ya zamani wasije sema oooh tumefukuzwa" RC Paul Makonda
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment