Mwijaku aweka wazi kuwa kwenye penzi jipya na Hamisa Mobetto, asema wanaume aliotembea nao Mobetto wamefanikiwa kupitia mrembo huyo
Mwijaku ameongeza kuwa hakuna mtu atakuja kuwatenganisha yeye na Mobetto kwani anajua kamtoa wapi “Wanaume wote aliotembea nao Hamisa wamepata mafanikio kwa sababu yake “ Mwijaku ameiambia Bongo5
Mwijaku pia ameongelea kuhusu gharama ambayo Alikiba alimlipa Hamisa Mobetto kwenye video ya dodo na kusema kuwa alilipwa dola 12000 sawa na milion 25 za Kitanzania.
“Hamisa ndio msanii pekee anatembelea gari zero kilometer kaagiza kiwandani gharama ya mil 85 wasanii wote wanatembelea magari yametumika “ Mwijaku ameiambia Bongo
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment