Search This Blog
Wednesday, June 24, 2020
Ndege yaanguka Mexico, watu sita wapoteza maisha
Watu sita wamepoteza maisha baada ya kuanguka kwa ndege ndogo katika jimbo la Chihuahua nchini Mexico.
Kulingana na taarifa zilizopatikana,ndege hiyo ndogo, aina ya TU206G, ambayo iliondoka katika mji wa mashariki wa Camargo kwenda Sinaloa, ilianguka katika mkoa wa Chihuahua.
Mamlaka yammetangaza kuwa Leonilo Gonzalez Olivas na watu 5 wamepoteza maisha katika ajali hiyo.
Uchunguzi rasmi umezinduliwa kuhusiana na ajali hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment