Search This Blog

Wednesday, June 24, 2020

Ndege yaanguka Mexico, watu sita wapoteza maisha


Watu sita wamepoteza maisha baada ya kuanguka kwa ndege ndogo katika jimbo la Chihuahua nchini Mexico.

Kulingana na taarifa zilizopatikana,ndege hiyo ndogo, aina ya TU206G, ambayo iliondoka katika mji wa mashariki wa Camargo kwenda Sinaloa, ilianguka katika mkoa wa Chihuahua.

Mamlaka yammetangaza kuwa Leonilo Gonzalez Olivas na watu 5 wamepoteza maisha katika ajali hiyo.

Uchunguzi rasmi umezinduliwa kuhusiana na ajali hiyo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...