Search This Blog
Tuesday, June 30, 2020
Mzungu Akamatwa Kwa Kusambaza Ukimwi Kwa Wadada Warembo Makusudi
Jason Pope raia wa marekani amekamatwa na police kwa kusambaza VVU kwa makusudi akilenga wanawake weusi.
Mpaka anashtukiwa alikuwa ameumiza zaidi ya wanawake 600 wenye asili ya bara la Africa.
Wengi wao wanawake hao aliwapata kupitia mitandao ya kijamii na wakionana jamaa alikuwa na styles zake alizohakikisha lazima aambukize virusi vya Ukimwi kwa kila tendo moja la ndoa.
Wengi wa wanawake hao aliwashauri wafanye mapenzi kinyume na maumbile na alikuwa anajiweka mkavu muda wote ili patokee michubuko mingi wakati wa tendo la ngono. Kila aliyekutana naye alimwambukiza VVU.
Alifanya hivyo kwa kuamini kuwa wataueneza zaidi kwa wanaume weusi kwani wanapenda ngono kupita maelezo.
Bado msako zaidi unaendelea ili kuwabaini wanawake wote waliotembea na huyu bwana kwani siyo wazima kwa sababu waliojitokeza kwa mamlaka za usalama wote wana VIRUSI VYA UKIMWI.
Nini maoni yako? https://www.youtube.com/watch?v=KWlXQGl0O9Y
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment