Search This Blog

Tuesday, June 30, 2020

Bilionea Mpya Mjini Laizer Awatolea Nje Warembo Mastaa Waliojipendekeza Kwake Apite Nao


HII inaitwa sitaki shobo! Bilionea mpya Bongo, Saniniu Laizer ambaye wiki iliyopita alitangazwa kuwa bilionea mpya wa madini nchini, amewakataa ‘live’ mastaa wa Kibongo wanaomtajataja mitandaoni.

“Unajua mimi siyo mtu wa mitandao kabisa kwa sababu huwa siangalii sana, lakini kingine watu ambao wanasema najuana nao, siyo kweli. Mimi ninawajua zaidi watu wa Mererani tu,” anasema Bilionea Laizer alipokuwa Akifanya Mahojiano na Ijumaa.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...