Tayari mwili wa Dereva wa Lori ambaye alitumbukia Mto Wami, Chalinze baada ya Lori kufeli breki umeopolewa na Jeshi la Uokoaji na Zimamoto wakishirikiana na wavuvi, Timu ya Uokoaji imesema mwili umeharibika kwakuwa umekaa chini ya maji kwa zaidi ya siku tatu tangu Ijumaa June 05.
Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete Ridhiwani Kikwete ni miongoni mwa waliokuwepo Wami wakati mwili ukiopolewa, tayari gari la JWTZ Iimesaidia kuubeba mwili huo pamoja na Ndugu ili kuuwaisha kwenda kuuzika.
Zoezi la kulitoa Lori chini ya maji linaendelea muda huu
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment