Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mgwhwira amemtaka Mwanamke aliyempiga mwenzake kwa madai ya kumfumania akiwa na Mumewe kufika ofisini kwake kwani wanaweza kuyamaliza mambo hayo kimila na sio mpaka wafikishane Mahakamani.
Mghwira amesema kama wanaogopa kujisalimisha Polisi wafike ofisini kwake na wako tayari kuliondoa shtaka hilo Mahakamani ili waweze kulishughulikia kwa njia za kawaida.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment