Search This Blog

Sunday, June 21, 2020

Mkemi wa Yanga Ashikiliwa na TAKUKURU


Aliyekuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Salum Abdallah Mkemi anashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (TAKUKURU) Wilaya ya Rufiji kwa Tuhuma za Rushwa.

Mkemi anahusishwa na utoaji wa rushwa kuhusiana na uchaguzi mkuu ujao wa Rais, Wabunge na Madiwani. Inadaiwa anajiandaa kugombea jimbo la Rufiji.





No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...