Search This Blog

Sunday, June 28, 2020

MELI YA MV VICTORIA-HAPA KAZI TU YAANZA SAFARI YAKE MAJARIBIO

 Meli ya MV VICTORIA iliyokuwa ikifanyiwa ukarabati leo tarehe 28 June, 2020 ikiwa imeanza majaribio baada ya zaidi ya miaka 5 ya kuharibika. Safari ya kwanza ya majaribio kuelekea Bukoba yamefanyika jijini  Mwanza.










No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...