Search This Blog

Monday, June 15, 2020

Mama na Watoto wafukuzwa kwenye nyumba aliojenga na Mumewe


Mwanamke Rahel mkazi wa Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha amedai kufukuzwa na shemeji yake kwenye nyumba aliyoijenga yeye na Mumewe baada ya Mume kupata tatizo la akili baada ya kuondoka siku kadhaa akiwa na shemeji yake.

Rahel amedai kwamba alianza kuishi katika eneo hilo na Mumewe Efatha Palanjo mwaka 1990 na baadaye waliongeza za wapangaji

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...