Search This Blog

Monday, June 29, 2020

Hii ndio bei ya jezi ya Ubingwa ya Liverpool



Kampuni ya vifaa vya michezo ya New Balance ambao ndio wazalishaji wa jezi za club ya Liverpool ya England, tayari wametengeneza jezi za kusherehekea Ubingwa wao wa kwanza wa Liverpool wa Ligi Kuu England baada ya miaka 30 kupita, jezi hizo zinauzwa pound 70 (Tsh 199,572).

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...