Search This Blog
Monday, June 29, 2020
Hii ndio bei ya jezi ya Ubingwa ya Liverpool
Kampuni ya vifaa vya michezo ya New Balance ambao ndio wazalishaji wa jezi za club ya Liverpool ya England, tayari wametengeneza jezi za kusherehekea Ubingwa wao wa kwanza wa Liverpool wa Ligi Kuu England baada ya miaka 30 kupita, jezi hizo zinauzwa pound 70 (Tsh 199,572).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment