Search This Blog

Monday, June 29, 2020

Valencia yamfukuza Kocha



Club ya Valencia ya Hispania imeamua kumfuta kazi kocha wao Albert Celades ,44, baada ya kuwa na mfululizo wa matokeo mabovu.

Valencia imepata ushindi game 2 kati ya 13 zilizopita za mashindano yote sambamba na kutolewa UEFA Champions Leaguea hatua ya 16 bora dhidi ya Atalanta.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...