Haji Manara ni miongoni mwa maafisa habari wa vilabu vya soka vya Tanzania ambao wamedumu katika timu moja kwa muda mrefu, Manara hadi sasa amekaa Simba SC kama afisa habari kwa miaka mitano na miezi mitatu toka pale alipojiunga nayo 2015 mwezi March.
Manara akiongea katika insta Live na Sabrina Golden Hour ameeleza kuwa baada ya kudumu na club hiyo kwa miaka mitano anawaza kutafuta kazi mpya ya kufanya ili apate changamoto mpya.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment