Search This Blog

Wednesday, June 10, 2020

Eng. Isaack Kamwele atengua uteuzi wa aliyekuwa kaimu mkurugenzi wa KIA



Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng.Isack Kamwelwe ametengua uteuzi wa aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa KIA, Eng.Martin Kinyamagosha kwa kutotimiza majukumu yake ya kazi, Martin ataendelea na majukumu yake ya awali ya Ukurugenzi Ufundi na Uendeshaji KIA

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...