Search This Blog
Wednesday, June 3, 2020
China yaionya Uingereza kwa kujitolea kuwapokea raia wa HongKong
China imeionya Uingereza kuingilia masuala ya Hong Kong baada ya taifa hilo kuapa kuwafungulia milango raia wapatao milioni tatu wa HongKong ambao wataondoka endapo sheria ya usalama wa taifa itapitishwa katika jimbo hilo.
Hatua ambayo China imesema haitakuwa na matokeo chanya.
Marekani na Uingereza zimekuwa zikiikosoa hatua hiyo ya China ambayo inawatia wasiwasi wachambuzi wengi wa kisiasa kuhusu mustakabali wa watu wa HongKong.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment