Search This Blog

Wednesday, June 3, 2020

Chama cha Tanzania Labour Party TLP Champitisha Rais Magufuli Kuwa Mgombea wa Urais..Kuzunguka Nchi Nzima

Chama cha Tanzania Labour Party TLP kimeunda timu ya kuzunguka nchi nzima kuzungumzia miradi iliyotekelezwa na Serikali ya awamu tano chini ya Dkt.John Magufuli kama kuonyesha Juhudi za kuungamkono kwa vitendo kauli ya mkutano mkuu wa chama hicho.

TLP ilishampitisha Rais Magufuli Kuwa mgombea nafasi ya urais na hawatasimamisha mgombea kwenye nafasi ya urais isipokuwa wabunge na madiwani.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...